TULIPOISHIA
Katika sehemu ya sita tuliishia pale Mzee James alipompigia simu Mama Amina na kuanza kumuuliza maswali mkupuo akitaka kujua zaidi mahali alipo.
ENDELEA......
"""""Mzee James Esau Alionekana Kuwa na hasira sana juu ya Mke wake kwani alikuwa akimpenda sanaa,hivyo alimuuliza Mama Amina kwa ukali zaidi, akisema Niambie Mke wang uko wapi nikufate mda wote Mama Amina alikuwa kimya tu akimsikiliza Mme wake huku akiandaa kichwani mwake jibu la kumpa.
"""""Mama Amina alimwambia Mme wake kuwa alikuwa ameenda msibani Kwa rafiki yake aliyekuwa amefiwa na Mama yake Mzazi,aliendelea kusema kuwa aliweza kuzima simu ili kuweza kuepusha usumbufu, kutokana na msiba huo ila alimuomba msamaha Mme wake akisema"Nisamehe Mme wangu sitorudia tena kuzima simu"
""""''Kwa uongo alioutunga Mama Amina Mme wake alikubali kwa kuwa alikuwa akimwamini sana, katika maisha yao yote ya ndoa Mzee James Esau hakuwahi kumtilia mashaka Mke wake kwakuwa alikuwa Mwaminifu kwake.
'"""""Mda huo Lauson alikuwa akisikiliza maongezi yote yaliyokuwa yakiendelea kati ya Mama Amina na Mme wake juu ya kitendo cha Mama Amina Kuzima simu na kuchelewa kurudi nyumbani,ilikuwa tayari isha fika saa mbili na dakika hamsini za usiku.
"""""Baada ya Maongezi hayo mafupi Mama Amina aliweza kumuahidi mme wake kuwa mda si mrefu atakua ameshafika nyumbani,Mama Amina alimalizia kujiandaa ,baadae akamwambia Lauson warudi nyumabani.
""""Lauson alishangaa sanaa kuona Mama Amina akimdanganya Mme wake kisa yeye, hakika alimuonea huruma saana Mzee James ila hakuwa na cha kumsaidia .
Mzee James alikuwa akimpenda sana Mke wake na kumjali pia sana pia alikuwa akimwamini ila tatizo lilikuwa tu kuwa Mzee James alishibdwa kumlizisha mke wake kitandani, hivyo basi kila kitu mke wake alicho mwambia alikubaliana nacho hatakama ni kitu cha uongo alikubali.
""""Mama Amina alitoka nje na Lauson hadi mahala alipokuwa amepaki gari yake pembezoni mwa hoteli hiyo, hapo ni baada ya kupita mapokezi na kulipa kiasi cha shilingi 50,000/= kwakuwa huduma zote walizipata humo humo ndani kila kitu kilikuwa kikipatikana humo kwenye chumba cha V.I.P alicho kuwa amekodi Mama Amina.
""""Mama Amina na Lauson walipanda gari na walipo kuwa njiani ,Mama Amina alianza kuyatoa mambo yote yaliyokuwa moyoni mwake,alimwambia kuwa Lauson kumbuka mm nakupenda sana na sitaki kuchangia penzi na Mtoto wangu mwenyewe,Lauson naomba unielewe juu ya hili sitaki kukuona tena ww ukiwa karibu na Amina.
"""""Aliendelea kumweleza Lauson huku akiongea kwa hisia na kweli ukimuangalia usoni kwake alikuwa akimaanisha anacho kisema kwani alikuwa siliasi hakuonyesha utani wowote juu ya swala la kuchangia Mapenzi na Mtoto wake Amina.
""""Mama Amina alizidi kumsisitiza Lauson juu ya Mahusiano yake yeye na Amina kuwa hataki kuona na kusikia chochote kitakacho endelea kati yao na Mama Amina """alimuahidi Lauson kuwa endapo ataendelea kutembea Na mwanae kuwa angeweza kumwambia Mme wake juu ya hilo ili Lauson aweze kufukuzwa hapo nyumbani""".
"""""Lauson mda wote huo Mama Amina akiongea juu ya uhusiano wake yeye na mtoto wake Amina akitaka uvunjike ,Lauson ndani ya Moyo wake alikuwa akijisemea kimoyo moyo kuwa.
""Yani Mama Amina hata usemeje mimi siwezi kumuacha Amina hata ufanye kitu gani bora unifukuze kwako ila siwezi kuachana na Amina kwani Nampenda zaidi ya wewe unavyofikilia,Lauson alikuwa akiwaza tu akilini mwake.
"""Alikumbuka kuwa mda ule hakumalizia kuzisoma meseji za Amina katika simu yake,aliifungua simu yake ambayo ilikuwa nu simu kubwa aina ya Samsung galaxy.
""""Alizisoma meseji zote alizomtumia Amina,baada ya kumaliza kuzisoma zote aliona amjibu Amina akimwandika"Baby Niko Njiani hapa nilikuwa nimemsindikiza Mama Msibani huko mbali Bagamoyo"".
"""""Ujumbe wa Lauson ulimfikia Amina,Amina baada ya kuusoma aliujibu sawa ""Mpenzi mimi nakusubiri kwa hamu kubwa sana na nimekumisi pia," waliendelea kuchati kwa mda wa kama dakika kadhaa,kisha Lauson na Mama Amina wakawa wamekalibia katika wilaya ya Gongo la Mboto ambapo ndipo walikuwa wakiishi.
""""""Walifika nyumbani hapo mda wa saa tatu na nusu,Mlinzi aliwafungulia geti wakaaingia katika familia ya Mama Amina ambaye alikuwa bado hajalala alikuwa ni "Amina tu ila wengine wote walukuwa wameshalaa.
""""""Amina alikuwa chumbani kwake baada ya kusikia tu sauti ya Mama yake sebuleni alijuwa wamesha fika, kwakuwa Lauson alikuwa amechoka sana usiku huo hakutaka usumbufu wowote na mtu yeyote.
"""Walipata chakula kwa pamoja na Mama Amina akawa amemuaga Mama Amina kuwa anaenda kulala,walitakiana usiku Mwema kila mmoja akawa ameingia chumbani kwake kulala.
"""""Mama Amina aliingia chumbani kwake kufungua tu mlango alikaribishwa na sauti ya Mtu akikoloma,Mzee James Esau kila usiku alikuwa ni mtu wa kukoloma na kila siku yeye ndiye alikuwa anakuwa mtu wa kwanza kulala,Mzee huyo alikuwa na Miaka 51 .
"""""Mama Amina alikuwa hapendezwi na tabia aliyokuwa nayo Mme wake kwakuwa Mzee James Esau alikuwa hajui hata kumpetipeti mke wake zaidi tu alijali kazi yake na mambo yake ya kiwanda chake.
"""Usiku huo baada ya Lauson kuingia tu chumbani,simu yake ilingia ujumbe kutokaa kwa Amina Mpenzi nakuja unipa utamu nimeshamisi yale mambo yako.
""""Lauson kwakuwa alikuwa amechoka alimjibu akmwambia "Mpenzi lala mimi leo nimechoka sana hatuwezi kufanya mapenzi katika usiku huu labda kesho mpenzi" Amina aliusoma ujumbe huo ila hakulizika.
""""Amina alituma tena ujumbe"Mpenzi nakuja japo unipe utamu mara moja nimemisi Mbolo yako tamu" Nina nyege mwenzio nataka unikune kwenye kitumbua changu"",Amina alikuwa na nyege mbaya sana aliamu kuja hadi mlangoni kwa Lauson kumgongea.
"""Ndugu Msomaji unadhani ni kitu gani kitatokea..
Usikose sehemu ya nane ya chombezo hii.
""Usikubali Kupitwa na Uhondo huu Ndugu Msomaji"
ITAENDELEA..
SEHEMU YA 8
TULIPOISHIA.
Katika sehemu ya saba tuliishia pale Amina alipokuwa akigonga Mlango wa Lauson ili kutaka kuingia kujipatia utamu kwakuwa alikuwa na nyege zilizokuwa zinamsumbua sana.
ENDELEA.....
""""Mda huo Amina akiendelea kugonga mlango huo bila kuona matumaini yoyote ya Lauson kugungua mlango, Amina hakukataa tamaa aliendelea kizidi kugonga mlango huo .
""""Mda huo Lauson alikuwa akimsikiliza tu ila asingeweza kufungua mlango kwani alikuwa amechoka sana, pia katika mda huo alikuwa hana hamu ya kufanya Mapenzi tena kwani mda si mrefu alikuwa amekula kitumbua cha Mama Amina.
"""""Kumbe katika mda huo wa saa tano usiku Amina alipokuwa akiendelea kumgongoe Lauson Mlango ,Mama Amina alikuwa bado hajalala alikuwa akimaikiliza tu Mtoto wake Amina jinsi alivyo zidi kugonga mlango bila kukataa tamaa.
''"""Mama Amina kila alipokumbuka kitombo alicho kutana nacho kule hotelini,hakika hakuamini kama Lauson ndiye angeweza kumtomba na kumliza kiasi kile duuh!! alikuwa akijiwazia tu mwenyewe huku akitabasamu na kufurahi tu mwenyewe.
""""Mama Amina baada ya kuona sasa mtoto wake Amina amezidi kugonga mlango bila kukataa tamaa yoyote aliona ajitokezee Mwenyewe,alikulupuka kitandani na kwenda kufungua mlango.
"""Alifungua kitasa cha Mlango huo wa chumbani kwake pole pole, ili Amina asije akasikia na kukimbia alitaka amkamate siku hiyo kwani alikuwa hapendezwi kabisa na tabia ya mtoto wake Amina kuwa na Mahusiano ya kimapenzi na Lauson ,wakati Mama Amina mwenyewe alikuwa akimtakaa Lauson kimapenzi.
""""Alipofika tu karibu na Amina bila Amina kuweza kumuona alifika anamuuliza swali"""we Amina usikuu huu ng'o ng'o kwa Mlango wa Lauson unatafuta nini wewe mbona unabalaa we mtoto!!, Mtu amelala zake wewe unamsumbua tu kwa mikelele yako hiyo ya kumgongea mlango tena katika mda huu unakwa unataka nini??.
""""Amina aliulizwa maswali hayo kwa mkupuo alishindwa ajibu nini kwani ni kweli hakuwa na sababu nyingine ya muhimu iloyokuwa inampeleka chumbani kwa Lauson zaidi ya kufata"Dudu* la Lauson,ambalo toka amehonja utamu wake hajawahi kuwaza wala kufikiria kulikosa katika maisha.
"""""Amina baada ya kukosa sababu ya kujibu,Mama alijui mwanae alichokuwa anakifata kwa Lauson,Alimsogeza pembeni na kumuonya akisema""Amina Mwanangu nakuomba uachane na huyu house boy Lauson,siku Baba yako akijua atawafukuza nyote we na Lauson.
"""""Akaendelea kumwambia Amina kuwa kama hataki Lauson afukuzwe nyumbani hapo aachane naye kabisa na asije akafanya mapenzi nae tena siku nyingine tena, Amina alikubali sawa Mama nitafanya hivyo"Mama yangu" .
"""Amina alikuwa akimheshimu sana Mama yake pia alikuwa akimuogopa kwani Mama yake alikuwa mkali pia alikuwa hataki watoto wake wajihusishe na Mambo ya kipuuzi na kijinga angali bado hawajaolewa na wengine bado wanasoma .
""""Amina alirudi chumbani kulala huku akiwa amenyongonyea kabisa ila moyoni alijuwa kuwa Lauson ni wake na Atabaki kuwa wake hata Mama yake asemeje"" kweli katika wakati huo Amina na Lauson walikuwa wakipendana sanaa na hakuna mtu angeweza kuwatenganisha katika mapenzi yao.
"""""Mapenzi kati ya Amina na Mpenzi wake yule wa Arusha yalizidi kudidimia na kusinyaa, kwani Mapenzi hayo yalikuwa yamesha ingiliwa na Lauson.
"""Lauson alikuwa mtaalamu sana wa Mapenzi kiasi kwamba aliweza kumteka Amina kimapenzi na kumfanya Amina amsahau na kumpotezea Kabisa "Ibrahim" ambapo kwa mda huo Ibrahim alikuwa bado kwao Arusha.
ENDELEA......
"""""Ibrahim Mpenzi wake na Amina aliendelea kumpigia simu Amina kila siku, ila Amina yeye toka ampte Lauson alikuwa hamtafuti tena Ibrahim bila yeye kumtafuta,
""""Mda mwingi Ibrahim alipo mtafuta Amina kwenye simu yake,Amina alikuwa akimkatia simu ,na mda mwingine simu yake ilipokelewa ila aliwa akiambiwa tu kuwa yupo hatakama hakuwa bize na kaziyoyote ya kufanya na kila Amina alipo muahidi kumtafuta Ibrahim alikuwa hamtafuti.
"""""Kadri siku zilivyo zidi kwenda ndivyo Mapenzi kati ya Amina na Ibrahim yalivyozidi kutetekea, Ibrahim alikuwa bado akimpenda Amina ila kwa upande wa Amina katika wakati huo alikuwa hampendi Mapenzi yake yalihamia kwa House Boy"Lauson".
""""""Maisha yaliendelea Kama kawaida Katika nyumba hiyo ya Mama Amina, na ilifika mda Emmy akawa ameenda shule kwani alikuwa amefauli masomo yake vizuri ya kidato cha nne kwa kupata daraja la Kwanza"division one".
""Emmy alifanikiwa kwenda Advance kuendelea na Masomo yake,Pale nyumbani alibaki Martha na Amina ndio walibaki kama watoto wa pekee wa Mama Amina.
"""Zilipita siku nne bila Amina kufanya Mapenzi na Lauson kwani wote walikuwa wakimuogopa Mama Amina, Mama Amina kwakuwa alikuwa akimpenda sana Lauson alikuwa akimnunulia kila kitu alichokuwa akikitaka.
""""""Siku moja Lauson alikuwa amekaa sebuleni akiendelea kuangalia mpira kwani yeye alikuwa mshabiki sana wa mpira hususani timu za ulaya,alikuwa mshabiki mkubwa sana wa timu ya Manchester City na kila timu hiyo ilipokuwa ikicheza alikuwa radhi kuacha chakula na kwenda kuangalia mpira huo.
"""""siku hiyo ilikuwa ya Jumapili Lauson alikuwa akiendelea kuangalia mpira mara simu yake iliita"" Kuangalia jina la mpigaji ilikuwa namba ngeni akaona apokee simu maongezi yao yalikuwa hivi.
""Lauson hallo! sauti kwa upande wa pili ikasikike , habari yako Lauson, Lauson alisita kidogo akaitika salama nani Mwenzangu? mdada huyo akajibu akisema mimi ni Catherine tuliyekutana siku ile kwenye ile hotel ya Kibalo vipi usha nisahau Lauson??Catherine aliuliza.
""""Lauson alijibu ahaaa!!! kumbe ni Catherine ehee nimesha kukumbuka niambie Catherine, Catherine alijibu safi tu akasema"Lauson samahani kwa usumbufu nilikuwa nakuomba leo tukutane pale pale katika hoteli tuliyo kutana siku ile nina Maongezi na wewe tena naomba iwe saivi.
""""Duh!!! Lauson kusikia Maneno ya Catherine ya kumtaka wakutane tena ikiwa ni pale hotelni alipokula kitumbua cha Mama Amina,alijua hapo kazi ipo kwani alijuwa wazi kuwa hayo maongezi Catherine anayo muitia yatakuwa siyo ya kawaida bali atakuwa anataka kupewa dudu tu.
"""""Lauson hajakaa sawa simu yake mara simu yake ikaingia meseji mbili mkupuo yakwanza ilikuwa kutoka M-pesa ikimwambia kuwa imethibitishwa amepokea shilingi 20,000 kutoka kwa Catherine Yohana.
""""Meseji nyingine nyingine ilisomeka kuwa"""Hiyo hela niliyo kutumia ni ya usafiri tu na Maandalizi mengine Njoo basi mwenzio nimekusubiri naomba uwahi ety" meseji ya pili ilisomeka hivyo.
Unadhani ni kitu gani kitatokea,usikose sehemu ya 9
""Usikubali Kupitwa na Uhondo huu Ndugu Msomaji"
